Habari doctor na Wana ajf Mimi ni mwanamama wa miaka 27 ...toka mwezi wa tatu nikianza kupata tatizo la kuumwa na kifua eneo la katikati ya maziwa baaada ya kwenda hospital nikafanyiwa uchunguzi wa vidonda vya tumbo lakini havikuonekana baaadae nikaaanza kupata shida ya upumuaji kwa muda Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.