Recent content by Rachel Nzengo

  1. R

    SoC01 Shairi: Hili Neno "Ukatili"

    Hakika ni jukumu letu kukemea ukatili huu kwa jamii zetu
  2. R

    SoC01 Shairi: Amkeni Mwokoe Nyakati

    Yeah umenena vyema
  3. R

    SoC01 Shairi: Hili Neno "Ukatili"

    Naendelea kuomba kura zenu jamani
  4. R

    SoC01 Shairi: Amkeni Mwokoe Nyakati

    Asante sana nashukuru
  5. R

    SoC01 Shairi: Amkeni Mwokoe Nyakati

    1. Nawaandikia ninyi vijana, kwa maana mna nguvu, Yalinenwa na Nabii Yohana, akijua mtafuzu, Lakini kumbe hamjafana, fursa mwachezea ka’ fuvu, Tena ujana mwautafuna, paso kuwekeza nguvu, Amkeni mwokoe nyakati, kwani zakimibia ka’ mshale. 2. Eti mshikaji sina ishu, nimeamua kula gudi...
  6. R

    SoC01 Shairi: Hili Neno "Ukatili"

    Salaam! Utenzi huu unabeba dhima ya neno "Ukatili" ambalo limekuwa likitajwa sana, lakini watu wengi wameshindwa hasa kuelewa neno hilo lina maana gani. Shairi hili lipo katika mtindo wa masimulizi kuhusu matukio ya ukatili yanayotokea ndani ya familia, ambapo mabinti yatima mapacha waliokuwa...
Back
Top Bottom