Wazo zuri
ni kweli, kutafuta wazo inahitaji uchunguzi zaidi ndipo unapoweza kuamua ipi ni nzuri, ubunifu wa hali ya juu unajitajika kujichanganya mtaani pamoja na kupata mawazo kutoka wafanyabiashara wengine inaweza kusaidia kupata wazo zuri
Ni kweli lakini nimegusia kwa wanachuo ambao wengi wao hawawezi kukosa hicho kidogo kwa mwezi , na kwa kuwekeza ndio ambavyo unaweza kujipungnzia lawama pindi umalizapo chuo
Habarini wanajukwaa!
Natumaini kila mmoja wetu ni mzima wa afya, kwa wenye changamoto za kimaisha Mungu akawafanyie wepesi!
Hii ni barua ya wazi kwa walioko vyuoni, wanaotegemea kuanza vyuo, wazazi, walezi, ndugu, jamaa na yeyote awaye yule mwenye kijana aliyeko chuo.
Kijana mwenzangu hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.