Recent content by Quimica

  1. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    Moderator please naomba nisaidie kufuta all of my posts ,kuna watu nafahamiana nao waliisoma huku ,Delete this thread please !Sihitaji kuiona hii thread kuna watu wanacomment na chuki zao hawafurahi watu kupendana😅!Please delete this
  2. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    Moderator please naomba nisaidie kufuta all of my posts ,kuna watu nafahamiana nao waliisoma huku ,Delete this thread please !Sihitaji kuiona hii thread kuna watu wanacomment na chuki zao hawafurahi watu kupendana😅!Please delete this
  3. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    hapana sio mbeya ,na hilo sio jina lake ila ahsante kwa a good Comment😄🤝mambo ni mazur.
  4. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    hapana sio mbeya ,na hilo sio jina lake ila ahsante kwa a good Comment
  5. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    Sitajibu tena huku nashukuru kwa waliotoa positive comments hizo ndo nmechukua ,wenye chuki niwakumbushe kwamba i cannot care their comments hata sjamaliza kuzisoma na wala wao sio mungu bali wafocus na kutafuta hela ili wasikasirikie maisha ya watu maaana we dont give a damn ,and we dont care...
  6. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    nakutukana maana unajifanya unanijua ,mimi huku nina muda naweza kukutukana wiki nzma fala wewe
  7. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    unaweza kuishi na mtu miaka 20 na akakupiga matukio ,sijaomba ushauri wako hapa kwan nimekuomba?wewe wako yupo wap?kila mtu anaoa baada yakukaaa na mtu miaka ishirini? usilinganishe stori yako na yangu
  8. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    sio kwamba upo arusha ,sema upo arusha na umelala kama fala hauna hela ya kula 🤣🤣🤣🤣unasubria bwana akukulee , mjinga kwel wanakukula mpuuzi ,ninauwakika watu kama nyie ni jobless na kichwani vinyovinyo zmejaa nakupuuza
  9. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    usiongeleee historia za watu ambazo huzifahamu , wewe huna hela yakumpa wacha wenye hela tumgaie , usinipangie na hela yangu mimi sio mbinafsi napata hela nyingi kwahyo nilazima nimpe . Tafuta zako kufa nazo , nyie ndo mnagongewaga kwa sababu yakujikuta wagumu , yani kama unaona pesa ya digit...
  10. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    wewe umeongea ujinga huu mkuu , kule hairuhusiwi simu mimi ndo napiga simu maana akileta mazoea sana na wale maafande kuwaomba omba simu italeta shida , kule hawana access hawapo uraiani
  11. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    wewe ndo zezeta na mimi siitwi junior , mimi nimetokea kaskazini mzeee siwez kuwa boya kama unavyozania , kama kumjali mtu ni uzezeta basi wewe ndo zezeta number 1.
  12. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    thank you for your good comment 🙏nmeshindwa kuiquote🙏🤝
  13. Quimica

    UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

    sasa uzoefu wako sio wangu ilo lifahamu , yani haimaanishi kama wewe uliteswa na mimi ntateswa au aimaanishi kama wewe ulikutana na mwanamke aliyekuzingua basi na mm ni lazima yanikute noppp , we have different paths , huwez kusema heti kwa sababu mke wa jirani yani kacheat basi urudi nyumbani...
Back
Top Bottom