Recent content by Queen P

  1. Q

    Lowassa alazwa Ujerumani, afanyiwa upasuaji mkubwa

    Ikiwa ni siku moja tangu kuripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari pamoja na mitandao ya kijamii kuhusu kufanyiwa Upasuaji mkubwa Waziri Mkuu aliyestaafu na Mbunge wa Monduli Mhe Edward Ngoyai Lowassa, mwandishi wa habari wa gazeti hili aliamua kuchunguza na kufanya mawasiliano na familia...
  2. Q

    Hatimaye Siri ya Ziara ya Lowassa Nje ya Nchi yabainika

    Heshima kwenu wakuu. Nikiwa natokea Dar es salaam kuelekea Dodoma jana mchana, tayari kwa kufuatilia mjadala wa bunge juuya Ripoti ya CAG kuhusu account ya ESCROW inayotarajiwa kusomwa siku ya jumatano, kuna taarifa nilizipata kutoka kwa moja ya washauri wakubwa wa Edward Lowassa ambaye...
  3. Q

    Dodoma: Mbinu chafu za Lowassa kumhujumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda zavuja

    Kesha ukiomba lakini amini amini nakuambia kabla ya bunge hili kuisha ukweli utajulikana na mtaacha kumzungumzia waziri mkuu Mizengo Pinda, kwani ni dhahiri kuwa hakuna mahala anapohusika na kashfa hiyo ya ESCROW
  4. Q

    Dodoma: Mbinu chafu za Lowassa kumhujumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda zavuja

    Kwenda zako kenge wewe wenye akili mbona wanachangia. UKAWA wameshaanza kuvurugana, kwa taarifa yako NCCR, na CUF wameshagundua kuwa CHADEMA wanawahujumu ili kujinufaisha wao binafsi.
  5. Q

    Dodoma: Mbinu chafu za Lowassa kumhujumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda zavuja

    Wee kaka utakua hujitambui bado, nakutahadharisha kabisa siku Pinda anaapishwa kuwa Rais wa JMT, Ukitembea uchi kuja kivukoni lazima uliwe TIG:A S soccer: na tangu leo nakuhakikishia wewe na hao wasaka tonge wenzio hicho kibabu chako wilbroad Slaa hatokuja kuwa Rais
  6. Q

    Dodoma: Mbinu chafu za Lowassa kumhujumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda zavuja

    Wakuu heshima kwenu, bila shaka mko poa Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Ufisadi Edward Lowassa na wafuasi wake waendelea na harakati za kutaka kulazimisha kuupata Urais wa JMT kwa kutumia mbinu chafu za kisiasa. Hivi karibuni Peter Serukamba, Makongoro Mahanga na Sadifa walikuwa na...
Back
Top Bottom