Recent content by QualityCareers

  1. Q

    Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

    Ukitaka kuongeza mapato ya kodi kutokana na petroli, usiongeze kodi ya petroli...punguza kodi ya kununua magari ! Hivyo divyo watu wenye akili wanafanya. Boeing anauza ndege nyingi kwa hasara (au at cost price), kwa sababu anajua utanunua spea kwake na utafanya service kwake na utakarabati hio...
  2. Q

    Hii ofa mpya ya airtel ikoje

    Nilisafiri kwenda Singida recently, Morogoro, Dodoma & Singida all have 3.75G as well..kuna kazi ya kweli imefanyika hapa. Ni muhimu kutoa "credit where credit is due".
  3. Q

    Hii ofa mpya ya airtel ikoje

    Mimi ninayo, Hiyo FREE INTERNET ni Sh3,000 kwa mwezi na Kila usiku ni bure pia. Lakini ile ya free internet ya usiku ni kwa wateja wote! Sio lazima unue modem, hata kwenye simu, au modem ya zamani...
Back
Top Bottom