Mkuu nimepitia baadhi ya nyuzi zako humu, you seem to be an expert in this field. Michango yako inanitia moyo hasa ktk suala langu hili. Mkuu ubarikiwe kwa moyo huo wa kushare uliyojaliwa kuyafahamu.
Mkuu nashukuru sana kwa kunisaidia pakuanzia.
Hakuna hati yoyote ya mauziano ya eneo wala maandishi ila kuna mashahidi.
Nashukuru kwa mchango wa mawazo.
BACKGROUND.
(HISTORIA YA BABU YANGU {X} MJOMBA WA BABU {Y} NA BABA YANGU {Z})
Babu yangu {X} alikuwa na nyumba mbili, moja upande wa Singida( Mkalama) na nyingine upande wa Manyara. Makao hasa (base) yalikuwa upande wa Singida ambako alikaa mke wa kwanza.
Kutokana na kujishughulisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.