Recent content by qoda

  1. Q

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Mkuu nimepitia baadhi ya nyuzi zako humu, you seem to be an expert in this field. Michango yako inanitia moyo hasa ktk suala langu hili. Mkuu ubarikiwe kwa moyo huo wa kushare uliyojaliwa kuyafahamu.
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Sawa
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Mkuu nashukuru sana kwa kunisaidia pakuanzia. Hakuna hati yoyote ya mauziano ya eneo wala maandishi ila kuna mashahidi. Nashukuru kwa mchango wa mawazo.
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Kuwa mwanasheria ndani ya mwezi mmoja tu

    Hiyo 50000 ni ada ya mwezi??
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Binamu kwa baba, sio kwangu.
  6. Q

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    BACKGROUND. (HISTORIA YA BABU YANGU {X} MJOMBA WA BABU {Y} NA BABA YANGU {Z}) Babu yangu {X} alikuwa na nyumba mbili, moja upande wa Singida( Mkalama) na nyingine upande wa Manyara. Makao hasa (base) yalikuwa upande wa Singida ambako alikaa mke wa kwanza. Kutokana na kujishughulisha na...
Back
Top Bottom