Naomba kujua toka kwenu wana Jf,
Je, nini hasa tatizo la mwanamme kufika kileleni mapema?
Je, kuna uwezekano wa tatizo hilo kutatuliwa?
Kama zipo njia naomba kujua njia hizo za kuzuia tatizo hili
Jamaa alikuwa anapiga story na baba yake,
Mtoto:baba me nataka kuoa
Baba:vizuri mwanangu,vipi umeshapata mchumba?
Mtoto:ndio
Baba:unataka kumuoa nani?
Mtoto:nataka kumuoa bibi
Baba:ha! Yani umuoe mama yangu?
Mtoto:ndio baba mbona we umemuoa mama yangu
Duuu kusikia hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.