Sote tunafuga kuku ili kupata mayai au nyama kutoka kwa kuku hao,lakini mtafaruku hutokea pale kuku hao wanapoacha kula chakula na kuamua kulana wao kwa wao au kula mayai kabisa.kama ulishawahi kufuga kuku wengi utanielewa vizuri maana kuna uwezekano mkubwa ukawa umeshasumbuliwa sana na tabia...
Dhumuni sio kuwafurahisha kuku maana kwanza hauna uwezo wa kuwafurahisha kuku,dhumuni ni kufuga kwa tija katika eneo dogo ulilonalo,achana na mambo ya kupanga fito.
Kwa swala la gharama za hili banda ni wewe tu utajiongeza kulingana na sehemu uliyopo na ubunifu wako, kuhusu sehemu za kulia chakula tazama kwa mbele ya banda utaziona,chakula ukikiweka katika sehemu hizo hakipotei hata kidogo.
Watu wengi wanaamini kwamba ufugaji na haswa wa kuku unahitaji eneo kubwa sana au mabanda makubwa sana kama nyumba ili uwe na tija ,lakini ukweli ni kwamba ndani ya eneo lenye ukubwa wa robo acre unaweza kufuga kuku wengi na kujipatia kipato kikubwa kama mtu anayefuga kwenye eneo la acre tano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.