Hapo lazima ubainishe, ukisema Shehe ni Jina tu ambalo anaitwa MTU yeyote wa kawaida. Lakini ukisema Sheikh (الشيخ ) Anakuwa mtu ambaye ametabahari katika elimu ya Dini, kwa maana ana elimu ya Dini kupitia muongozo wa Vitabu ambazo WANAZUONI wamevitunga na kuvikusanya.
Halafu hapo hapo kwenye kupigwa kwa kasi, kuna wachezaji wengine wanatishia kwanza kupiga halafu golikipa akipotea kisha wanaachia shuti, na Penalti ya mwisho Diara aliwahi kutoka kwenye mstari.
Kutoka kwa Mchambuzi wa kituo cha Wasafi FM Eddo Kumwembe.
Ahhhh ndio maana kila siku napoteza mapenzi na huu mchezo. Mchezo umekuwa laini sana well, nasikia hii ya kwamba kipa wa Simba Ally alikuwa anaondoka haraka katika mstari ndio maana Yanga wakakosa Penalti.
Guys haya masheria yenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.