Recent content by Qamara

  1. Q

    JamiiForums Tanzania Moto wa Katiba Mpya CHADEMA kutinga Ikulu; KAMATI Kuu yateua kamati ndogo ya muafaka

    Usifikirie kuwa Misri au Tunisia walichagua hilo, na usitofautishe misri, tunisia na Tanzani, kote ni binadamu wanaishi na wanafikiria sawa. Kama unaamini kuwa sisi sote ni sawa usingeweza kundika mawazo yako finyu, kuwa Tanzania siyo Misri/Tunisia. Mbinu za kuondoa serikali zinafanana duniani...
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Moto wa Katiba Mpya CHADEMA kutinga Ikulu; KAMATI Kuu yateua kamati ndogo ya muafaka

    Nafikiri mchangiaji ni mshabiki wa CCM au hajielewi maana ya Chadema kutaka kumuona raisi, kuandamana hata kwa raisi linamatokeo ambayo hata yeye hawezi kuyajua yatakuwa nini baadaye. Pili watanzania tunapaswa tujue kuwa CCM wanafikiri kuwa watatawala hadi mwisho wa dunia, ndio maana katika...
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Ujuha, unafiki, ushabiki na uzandiki ndio uliotufikisha hapa tukilalama kila kukicha, kisa Kiwete

    Ni suala la kusikitisha raisi kuongea na wazee na kuwaeleza mambo ambayo hata mwanafunzi wa darasa la pili huwezi kumdanganya. Mtoto wa miaka nne hutumwa dukani kuchukua sbuni, majni ya chai, sukari, mafuta ya kupikia chakula. Ukimuuliza kuwa sukari robo inauzwa shilingi ngapi? bila shaka...
Back
Top Bottom