sehemu muhimu zote iran alizotarget kupiga israel mwanzoni ameshazipiga, sasahivi hana haja Yakutumia nguvu kubwa, kuhusu gharama hata israel anapata hasara,
We unadhani iran mjinga kurusha makombola mengi kwa wakati mmoja? Wanafanya hivyo makusudi ili kuzichanganya na kuoutnumber israel intercepters...akirusha machache ni rahisi kuwa intercepted na mifumo ya ulinzi
Waisrael wenyewe wamehojiwa wamesema israel sio mahali salama kwa sasa, Israel imepokea kipondo kikali sana this time mpaka kwenye makazi ya watu ndio maana raia wamekua na hofu sana, pia israel kijographia anadisadvantage sababu eneo lake dogo vimondo vikishuka madhara yanakua makubwa,pia hamas...
Kaka acha kabisa nimetoka tiktok kule nimeona msululu wa vimondo kutoka iran vikitua israel bila kupingwa hadi huruma, nadhan kipondo cha leo nikikubwa zaid toka aanze kushambulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.