Najua atanikumbuka tu huyo baba, nina uhakika mkuu sio lazima niwe Mungu wala
huyu mdogo wangu sitapiga simu wala nini, atakuja tu hata hii weekend, najipanga kumpa maneno yake hata ikibidi kupiga kwanza mvinyo kabla sijakabiliana naye. Atajuta yaani
Nashukuru, ila japo hapo pa kusema “najua unatembea naye” ndio nilitaka kumkamata na vizibitisho vizuri, maana najua hawezi kubali hivi hivi na anajua anachofanya sio sawa so hawezi kukubali yaani. Ningemkamata hapo sasa ndio nafata huo ushauri wako sasa wa kumwambia tukapime ......
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.