PuraVida_Fire
Senior Member
- Apr 21, 2020
- 148
- 86
- Thread starter
- #81
Hili ndio nafikiria kwa sasa Mkuu, ni baada ya mawazo ya watu humu, maaan la kumkamata naona gumu. AsanteKunyamaza kwako ndio jambo linavyotokea kaa chini na mdogo wako Umueleze ukweli kumficha utakuta penzi lishamnogea