Recent content by Puncler

  1. Puncler

    Hii ngoma mpya Zuwena ya Diamond Platnumz amedhihiridha kuwa bado yupo na utamu wake hajaisha kama tunavyodhania

    Hakuna msanii yoyote aliyerudi Clouds, kwa taarifa yako kwa sasa hivi mainstream media si issue sana kama ilivyo social media( kwa influence) na digital platforms(kwa kipato), Harmo yuko E-Tv na EFM Radio na Vanny boy haja-base kokote kwani Clouds anafanya nao kwa contract na Wasafi pia anafanya...
  2. Puncler

    Hii ngoma mpya Zuwena ya Diamond Platnumz amedhihiridha kuwa bado yupo na utamu wake hajaisha kama tunavyodhania

    Ruge concentration yake ilikuwa ni wasanii wa THD, use your brain kid. Je hao wasanii aliowapa nguvu zake zote(here I mean THT artists) leo wako wapi na Diamond yuko wapi. Alitumia nguvu nyingi kumpoteza kwenye game na Clouds wakaacha kupiga nyimbo zake na pia aka-influence mainstream media...
  3. Puncler

    Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

    Yako mengi wanayoongelea na huyo Mwendakuzimu ni one of the topic, hakuna mwenye kinga dhidi ya kuongelewa. Muovu ataongelewa kwa maovu yake na mwema ataongelewa kwa mema yake, this includes Mwendakuzimu.
  4. Puncler

    Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

    Si hilo peke yake bali hilo ni moja kati ya circumstantial evidences zinazomuangukia Mwendakuzimu. -Kuzuia party members kwenda kumuona hospitali. -Kuzuia watu kumuombea. -Katazo la uvaaji wa T-shirts za 'Get well soon Lissu'. -Kutokuwepo walinzi(polisi na G4 security guards) katika eneo...
  5. Puncler

    Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

    Al least someone from CCM has posted a sensible post.
  6. Puncler

    Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

    Acha kujitoa ufahamu kwa kutetea upumbavu, kiwango cha akili zako ni zero kabisa. Those stupid killers(wasiojulikana) wanamlinda nani zaidi ya wale wanaowaamrisha na kuwaelekeza watu wa kuwaua, kuwateka, kuwatesa au kuwapora mali. They're nothing but stupid brainless murderers.
  7. Puncler

    Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

    Victim anajua kilichotokea, polisi hawako tayari kuiaibisha serikali. Haya maneno aliyoyasema Lissu ni eye opener kwa wale waliokuwa wakijifanya kulitetea lile shetani, ndiyo ameshachafuliwa legacy(Mwendakuzimu) sasa wale wanaotaka kuilinda wamfungulie mashtaka Lissu.
  8. Puncler

    Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

    Nilichofurahi ni Tundu Lissu kulieleza kwa wazi hili jambo manake Sukuma gang walikuwa wakijifanya spin-masters eti ni mivutano ya wao kwa wao kugombea madaraka, wale watetezi wa Jiwe hebu mfungulieni Lissu mashtaka kwa kumzushia mungu-mtu wenu. Legacy legacy legacy legacy................
  9. Puncler

    Tribulation ni kama onyo kwa marapa wabana pua wote

    Sizitaki mbichi hizi, failures have bulk of excuses. Disgusting goons.
Back
Top Bottom