Someni wazo mtoe maoni yenu!!
Maendeleo ya taifa lolote hujengwa juu ya mshikamano na ushirikiano kati ya Serikali na wananchi wake. Ushirikiano huu hujidhihirisha kupitia ushiriki wa wananchi katika kulinda amani, kushiriki katika shughuli za maendeleo, pamoja na kutekeleza wajibu wao wa...
Umasikini nimekutana na mtoto ni mdogo ana miaka 14 anaulizia kwa mjumbe wa nyumba kumi nikamuuliza shida nn akasema anamshitaki boss wake ajamlipa mshahara wake wa sh 20000 nikamuuliza
Watoto ambao umri wa kwenda shule kutoka wilaya ya Ngara wamejazana kwenye mikoa mbalimbali hapa nchini haswa ya kanda ya ziwa, wengi wao ukiongea nao wanakwambia hawajamaliza hata darasa la saba, na waliomaliza hawajaendelea.
Serikali ya wilaya ya Ngara angalieni hili, mpunguze mnyororo wa...
Watu wanatabia za kingese sana na uchokonozi mwingi.
Huyu jamaa nimesoma nae chuo na nimekaa nae room moja kwa miaka 2,ili jina la big Jambazi tumeanza kumwita toka 2009 hajaingia hata uwo upolisi sema alivyoingia polisi akaendelea na aka yake.
Huyu jamaa alikuwa na utu na ni mtu mwema sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.