Kuna watu wanaitwa 'ECONOMIC HITMEN". Hawa ni wataalamu wa uchumi wa mataifa ya Ulaya, Uarabuni, na Taifa la Marekani ambao kazi yao Pekee ni kujenga urafiki wa karibu na Marais na watawala wa nchi za Africa na America ya Kusini.
Baada ya kujenga urafiki na ukaribu na Marais pamoja na...
Mjomba,
Kwanza acha habari za kuona kuna mtu au kitu kimezuia wewe usitoboe, Jiangalie mwenyewe kwanza. Ukianza kuangalia visababishi vya nje hutaviona visababishi vyako mwenyewe.
2. Jikubali usijilinganishe au kujifananisha na mtu, usitamani kuwa kama fulani, kuishi kama fulani bila kutamani...
CCM mnasahau kuwa huyu ndiye Rais wa Tanzania. Hata kama mtamuita Mama yenu au Mama wa Taifa, majukumu yake kama Mkuu wa Nchi hayabadiliki. Jinsia yake haibadilishi ukweli kwamba yeye ndiye msimamizi mkuu wa Taifa. Lolote baya linalotokea ndani ya nchi hii, wananchi wote tunao wajibu na haki ya...
Kuna watu wameanza kuhoji elimu ya huyu kiongozi,na hii imeanza kunifikirisha. Najikuta siohoji tu elimu yake bali hata uelewa wake kama mwanasiasa na kama mtu ambaye amekuwa kwenye utumishi wa umma muda mrefu. Ukitazama na kusikiliza namna anavyozungumzia maswala mazito ambayo bado ni mabichi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.