Msaada tutani wadau mwenye uelewa kuhusu jinsi ya kurekebisha jina lililokosewa kwenye vyeti msaada maana jina la vyeti vingine ni PASCHAL lakini cheti kimoja ni PASCAL je inamadhara katika maombi ya ajira , mikopo nk ?
Napenda kuomba kazi ya plumbing ya kujitolea katika taasisi yoyote elimu yangu ni
# Kidato cha nne
# Veta plumbing Level 2
Contact 0765558812
Napatikana Dar es Salaam
Na Tabora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.