Tafuteni mchezaji mwingine, mbona wapo wengi! Kila siku ni Chama Chama! Mlianza kumfananisha na Mkoko, mkaja Feisal na Chama, Mara Azizi K na Chama.., mkaja Aucho na Chama .. sasa hivi ni Pacome na Chama! Kwani huyu Chama ni nani????
Tafuteni wengine basi! Semeni hata Pacome na Chasambi angalau...
Asikudanganye mtu , ndoto hiyo ni ya kawaida sana hasa kwa watu waliokuwa wanasoma sana wakiwa shuleni ! Kuota upo shule unafanya mtihani au unajiandaa na mitihani ni jambo la kawaida na watu wengi sana wanaota ndoto hizo.
Hii ni kwa sababu mda mwingi wa maisha yako umeutumia kwenye kusoma...
Uliyosema 90% ni kweli! Yaan pale stand sjawahi kupelewa!
Sijuwagi tofauti ya ile stand kubwa na ile stand ndogo! Maana kwenye stand kubwa had vi hiace vya kwenda uru vimejazana huko
Nashukuru zimebak siku chache mwaka uishe na malengo yangu yatimie kwa asilimia mia! Lengo langu kubwa kwa mwaka huu lilikuwa ni kuuacha huu mwaka upite free kama ulivyo, nisifanye chochote! Na naelekea kufanikiwa
Kwa sasa tumetulia tu tunamwangalia kocha anavyojikanyaga, ila Tukishindwa kufuzu Afcon ndo tutatoka sasa kusema " Tulijua tu".
Yaan kocha aombe tufuzu, ila tukishindwa Analo
Acha kulia lia! Yaan serikali iache mambo ya msingi kama kuuza bandari, waje wafatilie rimu! Ndo maana ndo maana makabila mengine yameendelea sana, huwez kuta mzazi anaelipa ada mil 4 analalamikia rimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.