Nakumbuka kipindi nasoma shule ya msingi kulikuwa na dogo mmoja kwao mambo safi sana.
Dogo alikiwa anakuja shule na hela kibao kaiba kwao, tulikuwa tunamdanganya tu dogo anatuchotea mihela.
Mfano mimi kuna peni nilinunua shilingi mia tano ukiandika inawaka taa, dogo akaipenda nilimuuzia elf 85...
Kwa hali ilivyo mpaka sasa ningecheza karata moja ambayo watu wasinge amini macho yao.
Maana sina cha kupoteza, sasa ili kumaliza hiki kipindi kilichobaki ili nikapumzike zangu lakini pia niwe nimeweka historia na niendelee kuheshimika hata nikiondoka.
Ningemteua Tundu Lisu awe mbunge kisha...
Ili nchi ipige hatua viwanda ni muhimu sana, viwanda vinapunguza tatizo la ajira! Magu kidogo alitaka kuanzisha safari flani hivi ila ikaishia njiani... Tunataka ajae aje andeleze pale alipoacha Magu
Tuweni makini jamani, kunatapeli kwa sasa yupo Moshi anatapeli watu na dola feki,
Ni mzee wa makamo mnene mweupe, anajifanya ana lafudhi ya kiislamu, yupo na kijana wake wanakuja na alphard dukani kwako wananunua bidhaa, kisha anakulipa na dola, then utamrdishia chenji kwa pesa ya...
Solution ni moja tu, barabara za mkoani zitanuliwe alafu ziwe double road, zitengwe katikati ili pale gari unapoovertake nyingine kusiwe na uwezekano wa kukutana na inayokuja.. wala inapoacha njia isiweze kukutana na inayokuja .
Ajali nyingi husababishwa na
1. Overtake za kizembe
2.Gari kuacha...
Kocha ana mbinu sana, baada ya kuona mbinu za kupigia mbali zimefeli, kete ya mwisho ni kutumia faul kwa kuwa anae mpigaj mzur wa faul (Charles Ahoua), hivyo akamwingiza Mutale ambaye anauwezo wa ku drible katikati ya mabeki hivyo kufanya achezewe rough na kusabaisha faul.....Sisi makocha tu ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.