Recent content by PSEUDOPODIA

  1. PSEUDOPODIA

    Ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri (kilaza) ni rahisi sana kudanganywa

    Nakumbuka kipindi nasoma shule ya msingi kulikuwa na dogo mmoja kwao mambo safi sana. Dogo alikiwa anakuja shule na hela kibao kaiba kwao, tulikuwa tunamdanganya tu dogo anatuchotea mihela. Mfano mimi kuna peni nilinunua shilingi mia tano ukiandika inawaka taa, dogo akaipenda nilimuuzia elf 85...
  2. PSEUDOPODIA

    Kwa hali ilivyo mpaka sasa, ingekuwa ni mimi ningecheza karata moja tu na ndo iliyobaki

    Kwa hali ilivyo mpaka sasa ningecheza karata moja ambayo watu wasinge amini macho yao. Maana sina cha kupoteza, sasa ili kumaliza hiki kipindi kilichobaki ili nikapumzike zangu lakini pia niwe nimeweka historia na niendelee kuheshimika hata nikiondoka. Ningemteua Tundu Lisu awe mbunge kisha...
  3. PSEUDOPODIA

    KERO Watumishi Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) Kanda ya Ziwa tunapitia magumu

    Rasilimali gani mnazolinda, rasilimali zinaliwa kila siku na mafisadi
  4. PSEUDOPODIA

    Naomba dawa ya miguu kuwaka moto

    Fire extinguisher
  5. PSEUDOPODIA

    Mrejesho kuhusu kuomba kazi au mishe yoyote JF

    1.5 M na upo kariakoo mbona wewe tajiri kabisa...washa akili ikifika 2030 we utaajiri vijana wengi sana waliokuwa na hali kama yako hapo kabla
  6. PSEUDOPODIA

    Nani anajua Kireno( Portuguese)

    Mi najua kiitaliano mkuu
  7. PSEUDOPODIA

    Tupate Rais atakae endeleza ile sera ya Magu ya Tanzania ya viwanda angalu ilikuwa na mwangaza

    Ili nchi ipige hatua viwanda ni muhimu sana, viwanda vinapunguza tatizo la ajira! Magu kidogo alitaka kuanzisha safari flani hivi ila ikaishia njiani... Tunataka ajae aje andeleze pale alipoacha Magu
  8. PSEUDOPODIA

    je ahmed ally ana gundu?

    Kwani kombe alilobeba benchika ahmed ally hakwepo?
  9. PSEUDOPODIA

    kuna tapeli yupo Moshi linatapeli watu na dola feki

    Tuweni makini jamani, kunatapeli kwa sasa yupo Moshi anatapeli watu na dola feki, Ni mzee wa makamo mnene mweupe, anajifanya ana lafudhi ya kiislamu, yupo na kijana wake wanakuja na alphard dukani kwako wananunua bidhaa, kisha anakulipa na dola, then utamrdishia chenji kwa pesa ya...
  10. PSEUDOPODIA

    Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala

    Wazee wanakera, anaona kabisa basi limejaa..alafu anapanda akijua kuna mtu atampisha...ukinikuta mimi utasimama sana mzee
  11. PSEUDOPODIA

    FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

    Na bado tarehe 8 tunapenati yetu imehifadhiwa....hii ndo maana halisi ya UBAYA UBWELA
  12. PSEUDOPODIA

    Tukitumia mfumo huu, hakika tutamaliza ajali za barabarani kwa Siku moja Tu

    Solution ni moja tu, barabara za mkoani zitanuliwe alafu ziwe double road, zitengwe katikati ili pale gari unapoovertake nyingine kusiwe na uwezekano wa kukutana na inayokuja.. wala inapoacha njia isiweze kukutana na inayokuja . Ajali nyingi husababishwa na 1. Overtake za kizembe 2.Gari kuacha...
  13. PSEUDOPODIA

    Leo ndio nimegundua Simba hamna kocha pale

    Kocha ana mbinu sana, baada ya kuona mbinu za kupigia mbali zimefeli, kete ya mwisho ni kutumia faul kwa kuwa anae mpigaj mzur wa faul (Charles Ahoua), hivyo akamwingiza Mutale ambaye anauwezo wa ku drible katikati ya mabeki hivyo kufanya achezewe rough na kusabaisha faul.....Sisi makocha tu ndo...
Back
Top Bottom