Recent content by PSEUDOPODIA

  1. PSEUDOPODIA

    Tumechoka sasa! Kila mchezaji mnamfananisha na Chama

    Hebu kunywa soda nakuja kilipa hapo
  2. PSEUDOPODIA

    Tumechoka sasa! Kila mchezaji mnamfananisha na Chama

    Kila siku mnamtaftia kipimo kipya
  3. PSEUDOPODIA

    Tumechoka sasa! Kila mchezaji mnamfananisha na Chama

    Tafuteni mchezaji mwingine, mbona wapo wengi! Kila siku ni Chama Chama! Mlianza kumfananisha na Mkoko, mkaja Feisal na Chama, Mara Azizi K na Chama.., mkaja Aucho na Chama .. sasa hivi ni Pacome na Chama! Kwani huyu Chama ni nani???? Tafuteni wengine basi! Semeni hata Pacome na Chasambi angalau...
  4. PSEUDOPODIA

    Ndoto ya ajabu inayojirudia rudia na mikasa niliyopata inanifanya nichanganyikiwe

    Asikudanganye mtu , ndoto hiyo ni ya kawaida sana hasa kwa watu waliokuwa wanasoma sana wakiwa shuleni ! Kuota upo shule unafanya mtihani au unajiandaa na mitihani ni jambo la kawaida na watu wengi sana wanaota ndoto hizo. Hii ni kwa sababu mda mwingi wa maisha yako umeutumia kwenye kusoma...
  5. PSEUDOPODIA

    Nina milioni 20. Nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na rejareja

    Mkuu biashara ya perfumes vipi! Tupe madini na sisi basi maana ushakuwa konki naamini
  6. PSEUDOPODIA

    Naweza kukopa pesa kwa kutumia fixed account?

    Assume wanakukopesha mil 3 ! Na ww una mil 3.5 , si bora uchkue hela yako ukafanye unachotaka kufanya
  7. PSEUDOPODIA

    KERO Stendi kuu ya mabasi ya Moshi (Kilimanjaro) imejaa ujinga, upuuzi, uchafu na ushamba uliopitiliza

    Uliyosema 90% ni kweli! Yaan pale stand sjawahi kupelewa! Sijuwagi tofauti ya ile stand kubwa na ile stand ndogo! Maana kwenye stand kubwa had vi hiace vya kwenda uru vimejazana huko
  8. PSEUDOPODIA

    Mwaka ndio huo unasepa, Malengo yako uliyojiwekea umeyatimiza kwa kiasi gani?

    Nashukuru zimebak siku chache mwaka uishe na malengo yangu yatimie kwa asilimia mia! Lengo langu kubwa kwa mwaka huu lilikuwa ni kuuacha huu mwaka upite free kama ulivyo, nisifanye chochote! Na naelekea kufanikiwa
  9. PSEUDOPODIA

    Tupo wengi tuliojiandaa kusema " Tulijua tu"

    Tulijua tu tutafuzu Afcon
  10. PSEUDOPODIA

    Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Hii stori niliifatilia yote mpaka ikaisha, nimeanza tena kuisoma naiona kama mpya vile
  11. PSEUDOPODIA

    Tupo wengi tuliojiandaa kusema " Tulijua tu"

    Kwa sasa tumetulia tu tunamwangalia kocha anavyojikanyaga, ila Tukishindwa kufuzu Afcon ndo tutatoka sasa kusema " Tulijua tu". Yaan kocha aombe tufuzu, ila tukishindwa Analo
  12. PSEUDOPODIA

    FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

    Ila wabongo nyoko sana! Asipofanya sab shida, ooh kocha afanyi sab, akifanya bado shida, ooh kocha anafanya sub nyingi.... duuh sjui mnataka nn
  13. PSEUDOPODIA

    DOKEZO Serikali iingilie kati huu ubadhirifu unaofanyika Shule ya Sekondari Venance Mabeyo-Busega

    Acha kulia lia! Yaan serikali iache mambo ya msingi kama kuuza bandari, waje wafatilie rimu! Ndo maana ndo maana makabila mengine yameendelea sana, huwez kuta mzazi anaelipa ada mil 4 analalamikia rimu
Back
Top Bottom