Recent content by prs

  1. prs

    Huwezi kuwa na Akili timamu Ukawatetea hawa watu wawili. Si sawa hata kidogo

    Kwanza ndiyo nimepata nafasi ya kuiona Video ya Idris..Atashinda mapema sana kesi.. Maana amecheka na hakusema neno lolote.. Wana CCM wanasema kwamba kamcheka Rais.. Ila yeye amecheka kwa furaha kumuona Rais wake. Ila hata Mimi baada ya kuiona picha nimecheka . Naishangaa tafsiri ya Wapambe...
  2. prs

    Rais Trump agoma kuvaa barakoa hadharani

    Hata Gwajima havai .. Sasa Trump nae si ndiyo walewale..!!! Sifa za Kijinga.. Hii Nchi sasa imejaa wapumbavu kweli.
  3. prs

    Mbunge wa Kilombero(CHADEMA) Mh. Lijualikali, afungwa jela miezi sita

    Huyu bwege Leo anaililia CCM anasema ananyanyasika ..sababu ni karantini ya wiki mbili tena kwa sababu za msingi kabisa. Hapa kahukumiwa miezi 6 kaona ni sawa..tena Jela si Nyumbani..kwa kesi za kijinga zisizo na kichwa wala Miguu.
  4. prs

    Hivi ni nani anawadanganya watanzania kuwa lockdown haifanyi kazi? Hata kama tumeigomea, tuache kupotoshana!

    Walishafanikiwa kudhibiti,ila baadhi ya raia kutoka nje ya China ndiyo waliyoleta mabalaa
  5. prs

    Mbunge Lijualikali alia bungeni kwa unyanyasaji anaofanyiwa na Mbowe ajiuzulu ubunge amuomba Ndugai CCM wampokee

    Anaililia CCM iliyomfunga Jela miezi 6!! Leo kashasahau?
  6. prs

    Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

    Baada ya Msiba wa Dada Kuisha ataonekana Dodoma ..Geita si shwari tena kwa Maficho.
  7. prs

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Tatizo lako huwa unachangia kwa kusoma vichwa vya habari.. Soma mada uelewe kisha changia ..
  8. prs

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Wakuu kwanza kabisa Salam.. Ni hivi .. Dawa ya Covid 19 ikitokea imepatikana Muda wowote kuanzia sasa ,Kutokana na Mahitaji ya Dunia nzima Tanzania tutapewa ya kutosha watu 480 ..Je tutapokea ?
  9. prs

    Wabunge wa CHADEMA ni mahiri kwa hoja Bungeni, lakini wepesi kama "Sponji" kwa Mbowe

    Duh! Wabongo kweli shida.. Hata Raia wanaotoka Nje inabidi kukaa ndani kwa siku zisizo pungua 14 baada ya hapo kama ni Wazima wanarudi Mtaani huku kwenye Covid 19 ambapo idadi bado ni 480.. Wabunge Waliamua kujitenga baada ya kupoteza wenzao watatu ndani ya mwezi mmoja.. Kujitenga ilikua ni...
  10. prs

    Ni nani aliyeibadilisha Tanzania kwa muda mfupi hivi?

    Kamuulize Magufuli.
  11. prs

    Ni nani aliyeibadilisha Tanzania kwa muda mfupi hivi?

    Kuna Kiumbe kinakula Bata Chato hivi sasa .. Mishahara hewa!!! Mwambe ni moja ya Mfano..Ni Mbunge hewa na bado anachukua Mshahara. Magu anagawa pesa mabarabarani.. Bora hao wanaagiza Magari..Magu anatuma ndege Madagascar kuchukua chupa mbili za juice.. Kwa familia yake .. Waliowadhulumu...
  12. prs

    Prof. Kabudi: Tanzania ndio tunaratibu mapambano ya Corona kwa nchi za SADC na Waziri Ummy aliongoza kikao cha kupanga mikakati mwezi Machi

    Duh ! Umesema kweli Mkuu..Afadhali huyo alishindwa kusema..Magu yeye Aliwaita Wazungu "Wanaume" wakati wanatuibia madini..
Back
Top Bottom