Kwenye mchango wake kwenye hotuba ya bajeti ya Waziri wa Nishati, January Makamba, ya 2023/24 iliyopitishwa na Bunge jana, Waziri wa zamani, Luhaga Mpina, amehoji madudu yafuatayo yaliyofanyika kwenye wizara ya Nishati chini ya Makamba:
MKATABA WENYE UTATA WA TEHAMA WA SHILINGI BILIONI 70 BAINA...
Tenders resignation letter this morning
Feared he may flee the country to avoid prosecution
Sources reveal how Vodacom Tanzania MD met more than 10 times with Tanil Somaiya, Rostam Aziz to negotiate $5 million kickback
Vodacom corporate affairs chief issues cover-up statement that back-fires...
Na hii hapa ni barua ya Vodacom Tanzania kuvunja mkataba na kampuni ya Shivacom kutokana na kashfa hii ya wizi wa vocha ambazo walioibiwa ni wananchi masikini wa Tanzania wanaoweka vocha za shilingi 500 kwa wingi...
Navyofahamu mimi, African Barrick Gold haijapewa tax holiday yoyote na TIC. Wenye tax incentives ni migodi kama Bulyanhulu ambayo haijabailisha jina. Ni dhahiri kitendo cha kubadili jina cha Barrick hakina uhusiano na ukwepaji kodi, eti wapewe tax holiday zaidi. Kampuni hubadili majina kama...
JK anaweza kuchaguwa PM kwenye makundi matatu -- 1. Wazoefu (wakongwe), 2. Vijana 3. Wanawake
KUNDI LA WAZOEFU
Hao waliotajwa -- SITTA, MWANDOSYA, WASSIRA
KUNDI LA VIJANA
1. Mwigulu NCHEMBA
2. Hussein MWINYI
3. JANUARY MAKAMBA
KUNDI LA WANAWAKE
1. Anne MAKINDA
2. Celina KOMBANI...
Kinachotisha hapo kwenye hiyo document ni maneno kuwa wahariri wa magazeti wameandaliwa na kamati ya kusimamia utangazaji wa Katiba Iliyopendekezwa inafanya mazungumzo na wahariri hao ili ijulikane bajeti ya kiasi gani inatakiwa ili wahariri walipwe watoe habari na makala za kupigia kampeni...
CCM wanataka mpaka Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afufuke kaburini ndiyo waache kumlea Edward Lowassa? Huyu hafai hata kuwa Rais wa TFF. Kaliingiza taifa kwenye hasara kubwa ya Richmond/Dowans. Ni tajiri wa kutupwa kwa kutumia vibaya ofisi za umma (abuse of public office). Hapa TAKUKURU...
Nakuunnga mkono. Kachukue fomu na wewe ugombee. Nawasihi wasanii wa Bongo fleva na Bongo muvi ambao ni wanachama wa CCM na wametimiza miaka 40 nao wakachukue fomu. Kwani ni bora Mzee Majuto awe Rais wa Tanzania kuliko viongozi waliokosa maadili na kujilimbikizia mali za umma kama Edward Lowassa...
Lowassa ni kielelezo cha kiongozi fisadi asiye na maadili. Hafai kuwa hata Rais wa TFF. Kama mnataka mchapa kazi CCM chagueni Dr. John Pombe Magufuli (chaguo la wananchi) au Dk. Harisson Mwakyembe (jembe). Achana na Lowassa ambaye kajilimbikizia mali kwa kupitia ofisi za umma na ameliingiza...
Hapo kwenye red mwisho wa speech amenoa. Ni "abject poverty" siyo "object poverty". Hii ina maana JK na speech writer wake na wasaidizi wengine wote wanaotakiwa kupitia speech kabla haijatolewa ni vilaza wa Kiingereza. Enzi za kiongozi mahiri Rais Benjamin Mkapa akiwa na speech writer wake mkali...
Waandishi wa habari wa Mbeya waitia aibu Tanzania kwenye ziara yao ya Malawi
Kikundi cha waandishi wa habari wa Mbeya ambacho kiko ziarani Malawi kimeitia aibu Tanzania na hivyo nchi hii kuonekana imejaa vilaza wakati huu ikiwa na mgogoro wa mpaka na Malawi.
Soma blogu ya waandishi wa habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.