MH RAIS JPM KAZA UZI HUKU MTAANI WAPINZANI HAWANA CHA KUONGEA WANAPIGA MILUZI KWA KUWA WALIVYOKUWA WANAVIPIGIA KELELE WEWE UNAVIFANYIA KAZI KWA VITENDO. NA BADO HIYO NDO CCM LAZIMA MPOTEE KABISA KWENYE MEDANI ZA SIASA
U DC SIYO CAKE YA BIRTHDAY KILA MTU APATE PIA USHIRIKI WA KADA KWENYE SHUGHULI MBALIMBALI ZA CHAMA UJIRA WAKE SIYO U DC NA HII NDIYO KASUMBA MBAYA WALIYO NAYO BAADHI YA MAKADA VIJANA KATIKA CHAMA. KILA MTU AFANYE KAZI KUJENGA CHAMA NA SERIKALI HABARI ZA KUJUANA NDIZO ZILIZOIGHARIMU AWAMU ILIYOPITA
Kinachohitajika ni uwezo na Uzalendo katika kada ya Utumishi wa umma wa kuteuliwa na Mh. Rais na si vinginevyo. Na uteuzi siyo cake ya birthday kila mtu apate pia ushiriki wa kada kwenye shughuli mbalimbali za Chama ujira wake siyo U DC. Na hii ndiyo kasumba mbaya waliyo nayo baadhi ya makada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.