Acha ujinga ,hivi mwanaume asiye na akili kama wewe anawezaje kuoa ?
Mwanamke kama huyo bado unamuita mke wangu ana hajakuzalia hata mtoto ,achana nae tengeneza maisha yako tafuta mwanamke atakaye kuheshimu.
Dhamira ya mapenzi imekuwa ni chumvi kwenye maisha ya kila siku lazima iwepo ili kuwe na radha ya maisha ila isizidi maana inakera na isipungue maana inabaoa.
Hivyo leo nimeona nije na uzi huu nadhan mwanamke anapenda mwanaume anavyoonesha kumtamani kingono na kama upo kwenye mahusiano...
How comes mapenz yanakuwa hayana faida na ndo destination ya kila mtu ,unavo ongelea mahusiano unazungumzia yenye tuja mwisho wa siku yaje kutengeneza familia bora na pia mm nazungumzia ni moja ya skills ambazo mtt anatakiwa ajifunze kutoka kwa wazazi
Kuwa mwafrika hainifanyi kuamin kitu kizur cha mzungu ni usaliti kwa Afrika hapana but kuna mambo ambayo wanafanya vzur kuliko sisi so hatuna budi kuyaiga
Then kuhusu kuwa na tabia nzur hilo ni jambo pana lakn nilicho kuwa namaanisha mm mtt wako anatakiwa kujifunza kila kitu kutoka kwako kabla...
Ni mfano tu hata ukisema who is ur boyfriend [emoji4],the adding do you think that boy is luck enough to have beautiful girl like you and why? Mtt anazoea kusifiwa mapenz hayata mshangaza
Sio tu kuongea nae nitamshauri mtu gani wa kuwa nae ,vitu vya kuzingatia akiwa kwenye mahusiano madhara na mambo mengine mengi ikiwemo elimu ya ngono atapata kutoka kwangu kabla hajadanganywa na mtaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.