Ninatafuta shule ya kufundisha somo la kifaransa...iwe ni English Medium iliyoko kati ya mikoa hii:-,Singida,Dodoma Manyara,Mbeya,Mwanza,Mara au Kagera.........If interested call +255 783 720 372.
mi nakumbuka nilipofika 4m3 nilijiwekea malengo ya kutochapwa hadi nipende mimi...sasa kulikuwa na mwalim wa kiume pale mwenge sec alikuwa ni kijana,bac nikifanikiwa kupitisha miez 3 bila kuchapwa nilikuwa nikitoka na fimbo nyumban kisha nampelekea yule ticha halafu nalala chini mwenyewe naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.