Kuna clip inazunguka mitandaoni ikumuonyesha mtot akimpiga mtoto mwenzie ambaye ni mdogo zaidi kuliko yeye.Huwezi kuiangalia hiyo clip inatia uchungu sana.
Inaonekana mtoto huyo ameagizwa na mama yake ampige huyo mtoto huku yeye akimrekodi kwa simu, huu ni unyama wa hali ya juu. Lakini tatizo...
Nimesoma na Mheshimiwa Sugu shule ya Msingi Ligula,Mtwara.
Tukiwa darasa la pili tulikaa dawati moja na alikuwa ni rafiki yangu sana,tukitoka darasani muda wa saa tano tunakwenda nyumbani kwetu Ligula B tunachota korosho kwenye debe(korosho first grade za kutoka kiwanda cha korosho Likombe...
Mheshimiwa Rais kwanza nikupongeze sana kwa jitihada ulizozichukua kuhakikisha mashirika ya umma yanalipa gawio kwa serikali.
Tumeona mwaka 2014/15 ni kiasi kidogo tu kilichokuwa kikitolewa kwa serikali na mashirika mengi yalikuwa hayafanyi vizuri,lakini sasa tunaona tunapata hadi Tshs Trilioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.