hakuna matatizo yoyote hapo kwenye hilo shamba kabisa, lipo kijiji cha ngeta au piga namba hii hizi kwa maelezo zaidi 0712754400 au 0713626494 wakati wowote utapata maelekezo zaidi.
unafika kabisa mlandizi stendi kabisa na unaingia upande huo huo wa kushoto kutokea dar au ukitokea chalinze unaingia kulia kijiji cha ng'etwa ni kama 1km toka stendi.
Sorry guys nilikuwa bize na kazi kidogo. Sina picha kwenye simu ila kunafaa mazao ya mahindi na mihogo kwa livyo lima mimi mwanzo. Price ni hekari zote kwa bei hiyo
Shamba la heka 4 linauzwa kwa mil 5, lipo mlandizi mwisho kisha unaingia km 1 kwenda kwenye kijiji cha ngeta. Mawasiliano 0713626494 & 0767626494 karibuni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.