Happy new year.
Mkuu majimoto asante kwa ufafanuzi wako. Mkuu majimoto sasa kama unamjua adui yako na kila siku anakufanyia vituko leo hichi kesho kile na unasamehe kila siku kama Mungu alivyosema lakini bado anakuwa kichwa ngumu anaendelea. Sasa Mkuu nitawaitaje Malaika na kuwaambia wakampatie...
Mkuu Majimoto asante sana kwa ufafanuzi wako mzuri.
Hizi ajili kubwa zilizotokea hapa nchini kwa mfano MV BUKOBA na ajali za treni zilisababishwa na wachawi ama ni Malkia wa Anga alikuwa anapita offroad?
Kuna aina ngapi za mbingu na imekuwaje mbingu mbili zimechukuliwa na malkia wa anga? Na...
mheshimiwa Majimoto kuna tofauti gani kati ya Demon na majini? Kama ni tofauti uhusiano wao na utofauti wao ni nini? Na hayo mafuriko Dar ni moja ya kazi za malango ama??? Freemason wanahusika vipi na malango ya Tanzania? Na kitendo cha rais mstaafu wa Amerika (jina kapuni) na prince wa...
Mkuu Majimoto nimeshasikia kwa watu kwamba hapa Tanzania kuna mawe ambayo yanapigiwa ngoma na kucheza, Je hii ni kweli ama ni uzushi na kama ni kweli ni majini? :noidea::noidea:
Mkuu Majimoto kama mkuu wa wachawi wote East Africa kafariki nani atachukua nafasi yake? Na inakuwaje huo mlango wake wa swimming pool ambao alikuwa anatumia kwenda kuzimu?
Ruhazwe JR: Ndio unajua leo, mbona haya mabo yapo ndugu yangu ukiwa na pesa wewe mtu ukiwa huna wewe gunia. Makanisa kama hayo ndiyo yanafanya watu wanapoteza imani na kubadili dini zao. Pole ndugu yangu cha muhimu ni imani yako omba mungu hatakutupa.
Mheshimiwa Majimoto kama yote ulioandika hapa ni kweli na yamefanyika huogopi watakuchukua????? Na binadamu anasafiri vipi na kijiko???????? Jamani Majimoto please reply.
Mheshimiwa Majimoto tafadhali nitumie contacts zako nahitaji kuongea na wewe kirefu kuhusu masuala ya dunia/uchawi/dunia isiyoonekana inaelekea kuna vitu vingi sana ambavyo sijui na ningependa kujua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.