Recent content by Private Mpelelezi

  1. P

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    Tumaini Makene Kuna watu wanatumiwa kuharibu flow ya huu mjadala kwa kumhusisha Mussa Azzan Zungu na Idd Azzan ambaye ni muhusika mkuu alietajwa hapo juu....inasikitisha sana na nashangaa mods wamelala coz hii kitu ni hatari.....naomba hiyo michange yao ifutwe then to discuss content
  2. P

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    Nambalapala Bora ww umegundua hilo.....Inasikitisha kuona great thinkers wanashindwa kutofautisha IDDI AZZAN na MUSA AZZAN 'ZUNGU' jamani alietajwa katika taarifa hiyo ni IDDI AZZAN mbunge wa Kinondoni na sio Mussa Azzan 'Zungu'
  3. P

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    nyangi m.a huyu ni IDD AZZAN na wala sio Musa Azzan Zungi
  4. P

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    rpg mtake radi mheshimiwa Zungu alietajwa hapo ni IDD AZZAN mbunge wa Kinondoni na wali sio Mussa Azzan Zungu Mbunge wa ILALA....tuweni makini na tunachokiandika
  5. P

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    Wanajamii Nataka kutoa Angalizo ili kile tunachoandika kisije kutuletea matatizo.......... Mbunge alietajwa katika taarifa ya hapo juu ni IDD AZZAN huyu ni mbunge wa Kinondoni na wala sio Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu.....therefore we need to differentiate between the two politicians otherwise...
  6. P

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    Ngongo mtake radi mheshimiwa Zungu alietajwa hapo ni IDD AZZAN mbunge wa Kinondoni na wali sio Mussa Azzan Zungu Mbunge wa ILALA....tuweni makini na tunachokiandika
  7. P

    Mulika: Hali ya usalama Dar es Salaam ni tete, Kova amelala fofofo

    Wadau Mambo mengi ya kimafia yalikua yanatokea behind the scene but WATU walikuja kustuka baada ya unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka.....kabla hata machungu ya Dr. Ulimboka hayajaisha.....mara ya Absalom Kibanda yakafuata.....mbaya zaidi wahalifu wa matokeo yote hayo mawili either hawajakamatwa...
  8. P

    Mulika: Hali ya usalama Dar es Salaam ni tete, Kova amelala fofofo

    TECH WIZ ahsante kwa kutambua hilo pia huyu jamaa anaonekana ana interest na hii issue......but have my word i am going to find out every thing about him very soon.....
  9. P

    Mulika: Hali ya usalama Dar es Salaam ni tete, Kova amelala fofofo

    scramble Are you also part and parcel of the syndicate??? Because you have consumed a lot of energy in launching personal attack rather discussing the issue on the table......cool down man!!!!!!
  10. P

    Mulika: Hali ya usalama Dar es Salaam ni tete, Kova amelala fofofo

    scramble Nilishapeleka taarifa kwa mkuu wa kituo pale Gerezani aliniambia taarifa hizo wanazo na tayari wameanza uchunguzi.....the usual blah blah....kuhusu site mirror ni typing error and its not big issue to me and i am not gona edit it
  11. P

    Mulika: Hali ya usalama Dar es Salaam ni tete, Kova amelala fofofo

    okon Najua wahanga wa wizi vifaa vya magari ni wengi hapa mjini ila kama tuki share experience tunaweza kupata solutions kwani vyombo vyetu vya usalama viko weak sana.....intelejensia haifanyi kazi wezi wanatamba mtaani hakuna wa kuwachukulia hatua.....TUAMKE
  12. P

    Mulika: Hali ya usalama Dar es Salaam ni tete, Kova amelala fofofo

    BigTime Sasa ni wakati muafaka wa sisi kushirikiana kupambana na mtando huu kwani unarusdisha nyuma harakati zetu za kujikwamua kiuchumi... just imagine kama hiyo pesa uliotumia ku purchase back your spare parts ungewekeza si leo ungekua umepiga hatua moja mbele?
  13. P

    Mulika: Hali ya usalama Dar es Salaam ni tete, Kova amelala fofofo

    Ndugu Wana JF Kwanza ni declare interest..mimi ni Private Detective nina degree ya criminology kutoka chuo kimoja huko Salt Lake nchini America.....nina takribani mwaka mmoja toka nimerudi nchini sikutaka na kamwe sitaki kuomba kazi kwenye vyombo vyetu vya usalama kwani bado vinavafanya kazi in...
Back
Top Bottom