Recent content by Princesswaprince

  1. Princesswaprince

    SoC04 Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wazee katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia wanawake na makundi maalum

    Wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum. Ningependa Tanzania niitakayo kupitia wizara hii ikajitathmini na kufanya maboresho katika maeneo kadhaa kutoka katika sera zake kwa mfano wazee, hawa wamekuwa hawaangaliwi ipasavyo hii ndio maana wazee wengi hali yao kiuchumi...
  2. Princesswaprince

    SoC04 TASAF iwe ya kujenga fikra za walengwa kujijenga/ kujikuza kiuchumi na siyo kuwa tegemezi

    Mfuko wa maendeleo ya jamii ulioanzishwa mnamo mwaka 2000 katika moja ya lengo lake lake la kuinua kaya masikini kwa kuwapatia kiasi cha fedha za kujikimu kulingana na mahitaji husika mfano kulipia watoto shule , matibabu n.k Ulikuwa ni mpango wenye nia nzuri na kwa kiasi fulani umesaidia sana...
  3. Princesswaprince

    SoC04 Elimu ya shule ya msingi bure, tuition ya kulipia ya lazima kwa wanafunzi wote!

    Watu wengi wanalichukulia kwa wepesi hili suala hasa huku kwetu kitaa, hawajali kabisa....ni bora pesa ya tuisheni itolewe mtoto akitoka kwenye masomo yake ya darasani moja kwa moja anaingia tuisheni.
  4. Princesswaprince

    SoC04 Elimu ya shule ya msingi bure, tuition ya kulipia ya lazima kwa wanafunzi wote!

    Katika sekta ya elimu naipongeza serikali kwa uamuzi wa kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote waliofikisha umri wa kuanza shule. Nawapongeza pia walimu katika utendaji kazi wao wa kutoa elimu kwa watoto wetu wote. Katika hili kuna changamoto kidogo ya matokeo katika mitihani ya shule mpaka...
Back
Top Bottom