Wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum.
Ningependa Tanzania niitakayo kupitia
wizara hii ikajitathmini na kufanya maboresho katika maeneo kadhaa kutoka katika sera zake kwa mfano wazee, hawa wamekuwa hawaangaliwi ipasavyo hii ndio maana wazee wengi hali yao kiuchumi...
Mfuko wa maendeleo ya jamii ulioanzishwa mnamo mwaka 2000 katika moja ya lengo lake lake la kuinua kaya masikini kwa kuwapatia kiasi cha fedha za kujikimu kulingana na mahitaji husika mfano kulipia watoto shule , matibabu n.k Ulikuwa ni mpango wenye nia nzuri na kwa kiasi fulani umesaidia sana...
Watu wengi wanalichukulia kwa wepesi hili suala hasa huku kwetu kitaa, hawajali kabisa....ni bora pesa ya tuisheni itolewe mtoto akitoka kwenye masomo yake ya darasani moja kwa moja anaingia tuisheni.
Katika sekta ya elimu naipongeza serikali kwa uamuzi wa kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote waliofikisha umri wa kuanza shule.
Nawapongeza pia walimu katika utendaji kazi wao wa kutoa elimu kwa watoto wetu wote.
Katika hili kuna changamoto kidogo ya matokeo katika mitihani ya shule mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.