Una uhakika tumeishi wote miaka 4 mkuu? Hebu kubali tu kuwa huwezi jua kila kitu hapa duniani.
FYI: Chuo Kikuu cha Dar es Salaam hupangia wanafunzi wake vyumba upya kwa kila mwaka wa masomo.
Roommate wangu chuo alikitembeza sana in her past life. Yani by the time tuko chuo mwaka wa nne alikuwa ameshakinai akapata mchaga huko akamvisha pete.
Siku alipoenda kupima nae ngoma akarudi akaniambia “Z, UKIMWI ni fate. Kama umeandikiwa kupata utapata na the vice versa is true” Maana alikuwa...
Yani nimesoma kuanzia ile ya awali na hii hadi nimelia na bado nina hasira. Natamani nikwambie uje uishi nami kwangu.
You need a hug or two kwakweli. Pole!
Nashauri achana na huyo mwanaume. Nakwambia hivi, ATAKUUA!!! Si kwa silaha wala nini ila sononeko huleta mauti. Una mtoto mdogo utamuacha...
Huwa nahurumia sana watu wasioamini katika mapenzi natural. Akiona mtu anapenda sana au anajitoa kwa mpenzi wake anadai karogwa. It is sad really nakuombea utoke huko.
Unless it's mad, passionate, extraordinary love, it's a waste of your time. There are too many mediocre things in life. Love...
Kuniambia ukweli hapana ila nimeamua kutomjibu kwa sababu ni mtu anatafta tu sifa ni wa kusifiwa ili aridhike.
Mtu ambaye anaamini mapenzi ni uchawi nadhani anaeleweka ni wa aina gani. Halafu hapo hapo anasema "sina uswahili". Daaah...
Siwezi kumuomba msamaha kwa sababu sijamkosea.
Mateso humpata yeyote yule mwema na mbaya kwahiyo sikatai naweza kupata mateso ila sitolaumu hili kuwa chanzo.
Sasa mimi nitafute ukweli wa mkewe kuwa mzinzi ili nipate nini na naanzia wapi? Kama ni kweli au kadanganya its on him na ni mambo kati yao.
Nimepima character yake kwa vipimo vyangu binafsi nikakubaliana nayo. Kama nimefanya makosa nitajifunza kutokana nayo na kama niko sahihi basi well and good.
Sijawahi kujiona bora kuliko ex wake wala sijajiwekea malengo ya kumbadili kivyovyote.
Ukitaka mwanaume perfect muumbe mwenyewe but kama ni hawa waliolelewa kwa wazazi wao tukakutana nao tegemea lolote tu!
Asante kwa ushauri wako. Kwakweli kwa kupitia michango yoote ukiacha ya kukejeli na kuhukumu nimegundua nilipanick sababu ya uoga wa hali tu. I have to woman up!
Nitajitahidi sana kuwa mama, niwe involved na watoto sababu i admit sikuwa involved nao hata kuongea nao tu casually ni kitu rare...
Ametoa talaka mara moja maishani mwake na ameitoa baada ya miaka 10+ ya ndoa. Sidhani kama naweza kusema anatoa talaka OVYO.
Na hata ambaye hajawahi kuoa unaweza kuwa wewe wa kwanza kukupa talaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.