Kuwa na Mungu kwanza kwa maana yeye ndiye faraja ya dhati, na kamwe hawezi kukusaliti.. Kisha mengine huja tena Mungu hukuletea kwa kile anachoona kinakufaaa maishani..
1. Hauwezi kumpenda mtu ambae yeye binafsi hajipendi.
2. Mtafute MUNGU, fanya kazi kwa bidii then pata mwanamke/ mwanaume bora, ukifanya hayo mambo matatu kwa usahihi, suala la kufanikiwa litakuja lenyewe tu.
3. Mwanaume aliye bora na mwanamke aliye mzuri hapimwi kwa idadi ya watu aliolala...
Kama ukivaa kiatu kinachokupwaya, kaa tayari kuboreka,
kuwa 'disappointed' na kuwa 'frustrated' katika maisha yako, na kama ukivaa kiatu kinachokubana basi kuwa tayari kuugulia maumivu ya mguu katika maisha yako ya hiko kiatu.".
Kitu kimoja kuhusu ndoa ni kwamba hautupi tu kirahisi rahisi au...
Mwanamke hawi mzuri kwa sababu ana sura nzuri au shepu namba nane. Mwanamke ni mzuri kama anahofu ya Mungu na ana humble spirit. Hio ndio alama ya uzuri wa mwanamke.
Usituoneshe catwalk, usituoneshe namna ulivyo na shepu, tuoneshe upendo wako kwa Mungu. Ni bora tukawa peke yetu na Mungu wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.