Recent content by PRINCE GEORGE

  1. PRINCE GEORGE

    Tanzania loans society

    Sawa nimefanikiwa kujaza hiyo fomu na kulipa 15,000/=kama maelekezo yanavosema kuwa ni ada ya uanachama,tangu saa tatu asubuhi lakini mpaka sasa saa nane mchana bado sijapata taarifa yoyote kuhusu hiyo pesa
  2. PRINCE GEORGE

    Tanzania loans society

    Jamani kuna hii (TANZANIA LOANS SOCIETY) naomba kujua ni vipi nitaweza kuifikia na nikihitaji kupata fomu ili niweze kuupata huo mkopo,plz naomba msaada wenu kama mtaweza kunia na link yake itakuwa pouwa sana
  3. PRINCE GEORGE

    Natafuta mchumba/ mume wa ndoa

    mhhh! ulikuwa haujampata,co kesi kama unataka kumpata tokelezea number yako ya simu then pipo kama zitajitokeza hvi?
Back
Top Bottom