Sawa nimefanikiwa kujaza hiyo fomu na kulipa 15,000/=kama maelekezo yanavosema kuwa ni ada ya uanachama,tangu saa tatu asubuhi lakini mpaka sasa saa nane mchana bado sijapata taarifa yoyote kuhusu hiyo pesa
Jamani kuna hii (TANZANIA LOANS SOCIETY) naomba kujua ni vipi nitaweza kuifikia na nikihitaji kupata fomu ili niweze kuupata huo mkopo,plz naomba msaada wenu kama mtaweza kunia na link yake itakuwa pouwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.