Mimi niko tofauti sana na nyie mnaokataa kwamba yanga hawafanyi ushirikina ,kwasababu ,nyinyi mnaokataa kwamba kwenye mpira hamna ushirikina basi nyinyi ndo wachawi wenyewe
Kama hamwamini ushirkina kwenye mpira ,hapa Tanzania kila kona ukipita hukosi vibanko vya waganga wa kienyeji sasa...
Uongozi wa Simba angalieni sana Yanga wanacheza nje ya uwanja sasa jipangeni sana maana wenzen wanacheza sana nje sasa mkizembea itakuwa kila siku tunasema wachezaji wabovu kumbe wenzenu wanacheza nje
Ili eneo liangalieni sana wenzenu hawaoni aibu kufanya ushirikina sasa kazi kwenu
Umeongea point kabisa awa jamaa ni wajanja kumbe wako kimasirahi binafsi ndomana hawatak kujiudhuru
Lengo lao ni kutaka kuivuluga timu ,mimi naamin hawa watu nyuma yao kuna kikundi kinawasapoti sio bure,
Haiwezekan wawe na ujasiri mbele ya mtu alie kuteua afu uje ugomee maamuzi yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.