Recent content by Prince Akeem

  1. Prince Akeem

    Nasumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa gesi

    Jaribu duka la tiba asili muhimbili wana dawa inaitwa Gastria inatibu mambo ya gesi ila sina uhakika kama inatibu hayo matatizo yako yote
  2. Prince Akeem

    Nilipata ajali iliyosababisha kuonekana katika CT scan inaonyesha zygomatic fracture

    Nilipata ajali iliyosababisha kuonekana katika CT scan inaonyesha zygomatic fracture. Tiba nazoambiwa na madaktari ni surgery lakini hospitali ya kwanza walisema mfupa utaunga wenyewe. Naomba ushauri kama kuna dawa maana jicho linaonekana limeingia ndani na pia shavu limevimba
  3. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    Nilikunywa antibiotics sizikumbuki ila maji mengi sana pia yalinisaidia na pia ilikuwa hainekani tatizo ni nini nikaanza kunywa bia mkojo ukawa unatoka mweupe basi ikaishia hapo. Na pia Muhimu kumuomba Mungu
  4. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    Mkuuu hiyo cancer inaweza mpa hofu
  5. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    Nilipona ila haikuwa kichocho
  6. Prince Akeem

    GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Wakuu nina shida 1. Sikumbuki kituo cha kupigia kura 2. Kitambulisho kimepotea 3. Namba ya kitambulisho siikumbuki Na ninataka kupiga kura
  7. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    kama ni michubuko dawa yake ni nin?
  8. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    nimeanza tumia alhamisi jioni na ijumaa asubuhi ila ilikuwa single dozi
  9. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    kuna dawa nimepewa na kichocho pia. huwa inachukua muda gani damu kuisha kaka?
  10. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    thanks kaka nilienda sanitas n
  11. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    poa ngoja nikomae na majiii
  12. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    ilitoka kama siku ngapi na ilikuwa nyingi mfululizo au matone au wakati wa kuanza kukojoa au wakati wa kumaliza kukojoa?
  13. Prince Akeem

    Nina tatizo la kukojoa damu

    hukutumia dawa yoyote kaka maana nimepewa dawa ila naona bado zonatoka toka sasa sijui nafanyaje na nimepima vipimo vingi mnoo
Back
Top Bottom