Recent content by prida

  1. prida

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha ajabu Samia kupigiwa magoti na wanaume.

    Huyu ni nani na nani wakuu?
  2. prida

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Whitney kabla drugs hazijaharibu vocal cords
  3. prida

    JamiiForums Tanzania Majirani wa kike sometimes hawasomeki.

    Yaani nimejifanya hard to get kidogo tu unaleta pisi nyingine halafu unashangaa why nimenuna😃
  4. prida

    JamiiForums Tanzania Ikitokea dada yangu na kaka yangu wamesalitiwa na wenza wao nitamuonea huruma zaidi kaka yangu kuliko dada

    Ila Khantwe umeshindikana. First time kumuona huyu dada wa watu amechukia. Pole mwaya Kalpana.
  5. prida

    JamiiForums Tanzania Ikitokea dada yangu na kaka yangu wamesalitiwa na wenza wao nitamuonea huruma zaidi kaka yangu kuliko dada

    Binti wa zamani ndo ramani yako ya maamuzi.Hongera😃
  6. prida

    JamiiForums Tanzania Ikitokea dada yangu na kaka yangu wamesalitiwa na wenza wao nitamuonea huruma zaidi kaka yangu kuliko dada

    Wewe na mume wangu ni mfano wa waume bora. Mnastahili maua🌺🪷🌸⚘️🌸
  7. prida

    JamiiForums Tanzania Ikitokea dada yangu na kaka yangu wamesalitiwa na wenza wao nitamuonea huruma zaidi kaka yangu kuliko dada

    Hakuna mtu ataacha mume wake hata ukisema.Hata hivyo maumivu ya receiver na provider kamwe hayatakaa yawe sawa. Unafikiri kwanini wanasema mchumba hasomeshwi? Unafikiri kwanini waliosomeshwa wakachit waliishia kuuliwa? Unafikiri kijana alosomesha angeamua kuoa binti mwingine yule binti...
Back
Top Bottom