Recent content by prida

  1. prida

    Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Ahudumii familia sbb mambo yake yameenda ndivyo sivyo ila angekua hajali familia yake asingempa huyu IM ya mtaji. Mi naona ajiue tu😃.
  2. prida

    Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Ningekua mtu wa karibu wa huyo baba ningemshauri akuache wewe ni mwanamke mwenye roho mbaya. Unaangalia madhaifu yake tu. Hv unafikiri ni wanaume wangapi wakipata 3M watatoa moja wakupe? Mi naona huyo ni mwanaume mwema anayejali ilibidi naye ajaliwe kwa upendo wa hali ya juu hasa kipindi hichi...
  3. prida

    Sipo Hapa kula mtu ila muelewe. Monthly payment yangu ni 4500$ Sawa na 12M kulingana na position Yangu na experience

    Kasema anasound rich kwanza huku akitafuta namna ya kuwa rich😃😃 Ksle ka blond ketu sio kachoyo mwali ana mkono wa kutoa😃
  4. prida

    Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Kama kujamiiana na mtu mmoja tunayependana ndio uzinzi basi sotqqcha coz sio jqmbo baya kwangu
  5. prida

    Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Nyenye nyenye nyenye
  6. prida

    Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Sana tu mkuu ila wape muongozo kidog
  7. prida

    Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Sana tu mkuu ila wape muongozo kidogo
  8. prida

    Sipo Hapa kula mtu ila muelewe. Monthly payment yangu ni 4500$ Sawa na 12M kulingana na position Yangu na experience

    Mi bahili wa visent vyangu ila nataka battle ya kuharibh pesa na huyu msukuma. Man to woman.😃 Siku anagawa pesa nishtue. Nitalipa mara 3 ya dola zake alogawa kwa pesa ya madafu. Na sihitaji kujiandaa hadi Dec, hata sasa niko ready🙏
  9. prida

    Sipo Hapa kula mtu ila muelewe. Monthly payment yangu ni 4500$ Sawa na 12M kulingana na position Yangu na experience

    😃😃😃 Mwanao kimbau mbau kasema hiyo amount aunty ake usiwaze atai cover yeye 😃
  10. prida

    Sipo Hapa kula mtu ila muelewe. Monthly payment yangu ni 4500$ Sawa na 12M kulingana na position Yangu na experience

    Sina kipato kikubwa mkuu ila we jua tu siwezi kimbia Tz kisa 12M kwa mwezi mkuu ERoni
Back
Top Bottom