Ningekua mtu wa karibu wa huyo baba ningemshauri akuache wewe ni mwanamke mwenye roho mbaya.
Unaangalia madhaifu yake tu.
Hv unafikiri ni wanaume wangapi wakipata 3M watatoa moja wakupe?
Mi naona huyo ni mwanaume mwema anayejali ilibidi naye ajaliwe kwa upendo wa hali ya juu hasa kipindi hichi...
Mi bahili wa visent vyangu ila nataka battle ya kuharibh pesa na huyu msukuma.
Man to woman.😃
Siku anagawa pesa nishtue.
Nitalipa mara 3 ya dola zake alogawa kwa pesa ya madafu.
Na sihitaji kujiandaa hadi Dec, hata sasa niko ready🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.