Jamanery naombeni ushauri,,, nimsaidie huyu rafiki yangu,,,,, ni mjamzito na yuko chuo mwaka wa kwanza,,,,, mwanzni alitaka kuitoa,, mwenza wake akakataa,,,, yeye sababu nzake ni anahôfia kwao na masomo pia,,,, bt mwenza wake alivyokataa alisema sawa kwasababu anajua madhara ya kutoa mimba...