Anahitajika mwalimu wa English language, shule ni ya serikali IPO mkoa wa dodoma wilaya ya chemba (Kijijini sana ila umeme na maji vipo)
Ambaye yupo siriazii anicheki...posho IPO sio sawa na kukaa buree
0695252896
Kama kwenye portal iliwekwa option ya kuchagua OTHERS Sasa kwanini tusiitwe. Ingekuwa Ni lazma ziwe fani zile zile tu za kwenye tangazo wazee wa OTHERS tusingewekwa kwenye portal..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.