Recent content by Preba de fisica

  1. P

    Anahitajika mwalimu wa English language., Shule IPO wilaya ya chemba mkoa wa dodoma (Kijijini sana) ila umeme na maji vipo. ..Pia shule ni ya serikali

    Anahitajika mwalimu wa English language, shule ni ya serikali IPO mkoa wa dodoma wilaya ya chemba (Kijijini sana ila umeme na maji vipo) Ambaye yupo siriazii anicheki...posho IPO sio sawa na kukaa buree 0695252896
  2. P

    Miaka minne tu, shule inakuwa bora na Wanafunzi wengi

    Duuh... kwasabab nimepita alipo dogo naelewa Nini anaweza.. Kila lenye kheri
  3. P

    Ajira za TAMISEMI

    Huu utaratibu mnautoa wapi?????????????????...... Tamisemi hakuna iyo habari.....scani vyeti original tu
  4. P

    Vyeti vya kuomba kazi tunaweka vilivyokuwa certified au?

    Scan vyeti original,,usicertify ..... tamisemi ni tofautii na utumishi ndugu zangu
  5. P

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Awamu ikiyopita ilipita miezi kama miwilii ivi
  6. P

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Investigators ilikuwa 12000+ na assistant 9000+
  7. P

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Huu uzii safari hii umekosa wachangiaji kama ule wa mwaka Jana au ndo kusema wengi walitoboaa
  8. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Aje chemba apa ,,njia panda ya kwenda arusha,manyara,kiteto babati na kondoa
  9. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwambie aje chemba ipo karibu na kiteto,kondoa,manyara ,babati na arusha,,,,namm nisogee karibu na home mbeya,,,,wasap 0752856319 for more info
  10. P

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Ka Kama Ni ivyo Mbona wengine hatujaitwa?
  11. P

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Kama kwenye portal iliwekwa option ya kuchagua OTHERS Sasa kwanini tusiitwe. Ingekuwa Ni lazma ziwe fani zile zile tu za kwenye tangazo wazee wa OTHERS tusingewekwa kwenye portal..
  12. P

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Wazee wa OTHERS tumekumbukwa🙏
  13. P

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Tupo ,tunawazoom tuuu
Back
Top Bottom