Recent content by Preba de fisica

  1. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mkuu ule mkeka ulitumwa humu hukuuona,,mbona unavacancy kibao. Zile Kila ukiweka imoo
  2. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Vibali hutolewa Kila mwishoni mwa mwezi, kwahyo kwanzia tarehe 25 ndo mirejesho itaanza humu
  3. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mkurugenzi akikasimisha kwa HR officer
  4. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Sio sababu, Kuna watu maombi yapo yamefika tangu February na hawajapata vibali, ilihali wapo ambao yamefika June na July wamepata vibalii,,,,
  5. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mmmh aloooh,,, mbona inaogofyaaaaa😭
  6. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Wakuu vipii vyuo vikuu kwa non academician huko Kuna asali kwelii,,, kama admission officer, quality insurance, warden , examination officer etc. au tutajichanganyaa.....poshoo zipo hukoo???
  7. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Saivi hakuna anayepata,, mpaka mwisho wa mwezi Tena ,,,,
  8. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Duuuh aloooh ..kumbe mkeka ukitiki ndo inaandikwa hivyo...hongera zake
  9. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Watu wa FB sio wa kuwaaminiii 😀
  10. P

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mmmh,, ,, Nashindwa kuelewaaa...kwanini uthibitisho wa nafasi usiwepo,, wakati muda wa ku submit kwenye vacancy request,ilikubali? Haikusema not badget
Back
Top Bottom