Recent content by Powells Dady

  1. Powells Dady

    Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh 1.5M

    Kwa serious advisers, mimi ninaisha DSM Mbagala, nna 1.5M, naomba nipate wazo la biashara na hiyo pesa ni kwamba biashara ni kuanza mwanzo kabisa. Pia soma Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?
  2. Powells Dady

    Passport ya kusafiria,

    Guys naomba anaefaham anielekeze hatua ya kwanza hadi mwisho unapohitaji passport ya kusafiria nje, na unatakiwa uwe na viambatanishi gani, pia ofic husika ziko wap Nko dsm.
Back
Top Bottom