Tatizo sio ajira Tatizo mambo hayaeleweki Mara bughet Mara database mara ziada ya walimu Mara ukaguzi Mara walimu arts kuamishiwa msingi huu ni uongo Jaffo sisi sio watoto kakae chini tunataka majibu yenye mashiko
Hivi hawa wabunge mbona wanachezea hela za Umma eti jibu swali moja kati ya hilo maswali ya Msingi Kama hayo unajibu swali moja halafu unajibu pumba yaani mtu mwenye shahada aliysoma imperialism akafundishe ubeberu uliokamaa hataweza kweli kuyatafsiri kwa Kiswahili ndugu zangu hakuna ajira huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.