(1) Kabla kununua simu ikague kwa kupiga *#06# namba zinazoitwa imei(international mobile equipment identity) zitaonekana. hizi namba ziko 15 au zaidi na ni lazima zianze na namba 35. kinyume na hapo hiyo feki... na km umepiga hiyo namba na imei hazijaonekana, hiyo pia feki tena aliyefekisha ni...
nimekuelewa unachotaka kujua... km iyo brand ya hauwei iko china haimaanishi dunia nzima ndo inategemea huko...kuna viwanda vya kuzalisha hiyo simu nchi mbali mbali. yako imezalishwa finland. ndomana nikasema ikiwa 00 imetengenezwa kwny original factory..labda niseme kiwanda mama.. inamaana uko...
kuhusu simu za kichina, hizo namba nilizotaja ni kwa zile ambazo ni original na zenye quality na zinatengenezwa na brand zenye majina yanayotambulika kimataifa km tecno, hauwei, x ting etc..mi nazungumzia quality sio ufeki na uoriginal.. nikisema bad quality sio kwamba ni feki bali ni jst bad...
angalia namba zako za imei, zitakuwa 15 au 17. hesabu mpaka namba ya 7 na ya 8.
km ni 02 au 20...simu yako imetengenezwa emirates- very poor quality.
km ni 08 au 80... germany-fair quality
km 01 au 10...finland- high quality
km 00 - imetengenezwa kwny original factory - best quality.
km 03 or...
kitunguu swaumu ndo dawa mtu wangu...na vile vile kinaongeza libido (hamu ya ngono), hakina masharti we kile tu kikavu au kwenye mboga.. hii ndo dawa isiyo na madhara bali faida nyingi tu na inasaidia mambo ya msukumo wa damu...inafaa sana kwa mzinzi km wewe
mtafute jamaa humu anaitwa javascript atakuelewesha mambo ya software zinazohusika, pili fata ushauri wa chief mkwawa, tatu anza kutumia ms publisher kwanza kufanyia mazoezi kwa kuiga matangazo ya watu wengine kabla ujaanza kutumia software zinazohusika zaidi, ili ujue technique wanazotumia, huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.