by the way mimi sijaelewa hii dhana ya udini unaohubiriwa hapa Tanzania! udini maana yake nini? Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa Tanzania kama nchi haina dini lakini wananchi wake wana dini, wengine waislamu, wakrsto kwa madhehebu yake. hatuwezi kuwa na kiongozi asiye na dini. hata kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.