Tatizo hilo na mwanangu alikuanalo now ana mwezi mawili niwakiume .nlimpeleka kwa docta hamiri akanishauri kwanza tusiwape watoto dawa kwaajili ya kunya mbaya..
Hivyo kwa kawaida mtoto Anatakiwa anye kwa wiki mara moja atakapo fika umri wamiezi mitatu iyo hali iyabadirika.. Unachotakiwa...
Mkuu me naona mbezi kuna tatizo kubwa sio bure maana me nawapigia simu wk sasa kila siku naambiwa mafundi wanakuja inaingia wk ya pili sasa kwangu nipo kwenye giza
Nipo kimara goroni mtaa wa amani namba yangu ya mita 24213873839 leo ni siku ya tatu kila ikifika saa moja ya usiku nyumba yangu tu ndio umeme unakatika,utarudi tena saa mbili nilikuwa naomba kujua tatizo nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.