Ushauri wangu ungeenda kwenye watoa mikopo wadogo wadogo sasa hivi wamefungua Vijiofisi vingi hapo mtaani kwako ungefanikiwa Zaid kuliko mm nilieko morogoro huku Niko mbali other wise kama uko Moro ntakusaidia
Mimi ni kijana nliehitim chuo mwaka huu nmeamua nijiajiri kuuza chips biashara hii nataka nikaifanyie Morogoro coz maisha yangu nataka nikaishi huko.
Naomben USHAURI kwa wazoefu na wenyeji wa mkoa wa Morogoro MJINI wanishauri chimbo linalo faa na kuchangamka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.