Recent content by poriko

  1. P

    JamiiForums Tanzania kwa mwanamke hajaolewa na anaehitaji mtoto ambae anaweza kumlea

    Kama kuna mwanamke mweye umri wa miaka 28 hadi 40 ambae hana mtoto na anahitaji mtoto au watoto ambao ataweza kulea. Anakaribishwa, ukiwa tayari nitupa email tutawasiliana.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Nimelia sana kuhusiana na Mume wangu,Mungu sasa simama wewe

    we nafikiri una kiwewe cha kumuona nakufurahi na mumeo. visa inasema atarudi tarehe 24. sasa we unapekenyuapekenyua nini? unauhakika gani na hao wenyeji wake kule? kama kuna dili anapiga mahali unataka ujuea ili uanze kutangaza? wanawake kuweni na subira jamani. kama kapatwa na matatizo hadi saa...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mwanaume kama hujui kutunza utaishia kuitaga shemeji

    Hamna lolote huko ni kujiuza tu. we sema tu bei gai tu bid!
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mwanaume kama hujui kutunza utaishia kuitaga shemeji

    Huko ni kujiuza tu. hamna ishu nyingine, we sema bei gani watu wa bid!
Back
Top Bottom