jamani mnataka tuhamishwe watumishi wote wa makao makuu kwa kosa gani? kosa afanye hosea adhabu tupewe cc jamani mtuonee huruma na cc bado tunapenda kukaa mjini.
Jamani; nikweli Hoseah alikuwa na mapungufu yake, lakini kitendo cha kutuhukumu cc watumishi wa makao makuu si sasa, tupo wengine majembe kabisa hapa HQ. kwanini sasa tuhamishwe twende mikoani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.