JamiiForums Tanzania
Hellow
Barabara imegawanywa kwa makundi mawili,
Kuna group 1 linaanzia Mafinga to Nyigo,
Na group 2 linaanzia Nyigo to Igawa,
Mimi nipo Mafinga group1
Na mpaka sasa tumefikisha zaidi ya asilimia 80 kwa ujenzi wa barabara yenyewe tukiachana na Drainage structure ambazo ni Mitaro,
Maeneo mengi...