Recent content by Polycarp Of Iringa

  1. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Naomba nielekezwe

    Sawa sawa, Sina uhakika kama ulizaliwa unaijua JF. Ni kujitia ujanja tu
  2. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Naomba nielekezwe

    Si shemasi mm, kwan vp
  3. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Naomba nielekezwe

    Shamba tena!!!!!
  4. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Naomba nielekezwe

    Dah sipo kidato, Nimemaliza NTA 6 in Hw Eng
  5. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Hellow

    Barabara imegawanywa kwa makundi mawili, Kuna group 1 linaanzia Mafinga to Nyigo, Na group 2 linaanzia Nyigo to Igawa, Mimi nipo Mafinga group1 Na mpaka sasa tumefikisha zaidi ya asilimia 80 kwa ujenzi wa barabara yenyewe tukiachana na Drainage structure ambazo ni Mitaro, Maeneo mengi...
  6. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Naomba nielekezwe

    Kivipi tena
  7. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Naomba nielekezwe

    G
  8. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Hellow

    Kivipi
  9. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Hellow

    Ahsante, Nitafanya hivyo
  10. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Hellow

    Hapana kaka sipo katika ujenzi huo wa Interchange, Kwa sasa kampuni niliyopo inajenga Barabara ya Mafinga (Iringa) - Igawa (Mbeya) km 250 hivi,
  11. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Je, Kusoma combination ya PCM ni sawa na kujichosha?

    Kusoma PCM alafu ukaenda Advanced level then ufaulu college ni kweli unajichosha, Labda ukapige Education, Namaanisha nini, Ukifanikiwa kupasua PCM form 4 mapema sana tafuta Engineering school yoyote ukapige Diploma (NTA LEVEL 4,5 &6) hapo ndio utakuwa umewini kwa wakati huu, PCM ukienda...
  12. Polycarp Of Iringa

    JamiiForums Tanzania Hellow

    H
Back
Top Bottom