Recent content by Politik

  1. P

    Lori lenye shehena ya bomba lashambuliwa Mtwara!

    Tatizo serikali ya ccm imekuwa na ubabe katika utendaji kazi. Sioni sababu ya kufanya mipango bila kuwashirikisha wananchi,mpaka mambo yakiwa tayari ndo wanapeleka kwa wananchi.Wananchi wa Mtwara wanakila sababu ya kulipinga jambo hilo.Serikali ingekuwa na nia ya dhati ingewashirikisha tangu...
Back
Top Bottom