Recent content by poikiloman91

  1. poikiloman91

    Njoo na 3.1 m Nikutengenezee 14 milioni kwa miaka miwili.

    njoo nikupe bajaji uanze kazi tuweke mkataba nichek kwa namb 0623608116
  2. poikiloman91

    Msaada: Jinsi ya kuhamisha Bajaji kutoka Mbeya kuja Dar es Salaam

    Nataka nijue utaratibu ikifika Dar ili ianze kazi inatakiwa nifuate taratibu zipi
  3. poikiloman91

    Msaada: Jinsi ya kuhamisha Bajaji kutoka Mbeya kuja Dar es Salaam

    Nataka nihame kutoka Mbeya kwenda Dar es Salaam ila nina chombo cha moto (bajaji) nataka nihame nayo. Hivyo naombeni taratibu za kufuata ili niweze kuhama nayo na kuifanyia kazi nitakapo fika Dar, naombeni maelezo nianzie wapi mpaka wapi maana ilikuwa na usajili wa Mbeya.
  4. poikiloman91

    Nasredin Nabi nashukuru kwa kutufikisha hapa

    We ni mwehu rudi ukoloni mwako
Back
Top Bottom