Idara ya usalama bungeni kupitia mwenyekiti wa bunge la katiba Mzee Kificho imemsafisha Paul Makonda juu ya tuhuma za mtandaoni kuwa aliiba simu ya mwenzake wakiwa bungeni. Idara imekemea tabia ya kuchafuana bila uthbitisho na kuongeza kuwa Makonda hajafanya lolote na hajawah kupekuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.