kama mnahamasishana kudharau mamlaka zilizowekwa kikatiba na kujiita wapambanaji tuwaeleweje?means hamfai kuwa viongozi na hata kufikiriwa kuwa watawala wa nchi hii. Kwa hili chadema mmepotea.hivi kwa akili zako timamu unamshabikia mtua liyedharau mahakama?anatufundisha nini yeye kama...
hi.why are we always discussing about other people?hivi kweli nchi hii imekosa kabisa mada za kujadili apart from fulan fisadi,fulani mwizi wa wake za watu blah blah....c'on vijana wenzangu,tuanze kuibua mada zinazotupa changamoto za kupambana na umasikini wetu n kutuwezesha kuwa independent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.